Thursday, April 17, 2014

UKAWA WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO KUSISITIZA DAFTARI LA WAPUGA KURA



Umoja wa viongozi wa katiba ya wananchi (UKAWA) umetishia kuanzisha maandamano makubwa hadi ikulu, endapo Rais nchini na Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha daftari la wapiga kura, hawatafanya marekebisho kabla ya chaguzi zijazo.
Hayo yamesemwa na makatibu wakuu wa vyama vya upinzani nchini, kikiwemo chama cha CHADEMA, CUF na NCCR, ambapo wamesema watanzania milioni tano na laki nane hawana vitambulisho vya kupigia kura.
Vyama hivyo vimewataka viongozi husika, kufanya jitihada za kurekebisha daftari hilo, ili chaguzi zijazo ziwe za huru na haki
Chanzo EA.Radio

No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » » UKAWA WATISHIA KUFANYA MAANDAMANO KUSISITIZA DAFTARI LA WAPUGA KURA



Umoja wa viongozi wa katiba ya wananchi (UKAWA) umetishia kuanzisha maandamano makubwa hadi ikulu, endapo Rais nchini na Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha daftari la wapiga kura, hawatafanya marekebisho kabla ya chaguzi zijazo.
Hayo yamesemwa na makatibu wakuu wa vyama vya upinzani nchini, kikiwemo chama cha CHADEMA, CUF na NCCR, ambapo wamesema watanzania milioni tano na laki nane hawana vitambulisho vya kupigia kura.
Vyama hivyo vimewataka viongozi husika, kufanya jitihada za kurekebisha daftari hilo, ili chaguzi zijazo ziwe za huru na haki
Chanzo EA.Radio
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos