Thursday, May 1, 2014

KANISA LA BEYONCE LAAZISHWA


Si tu anavutia mashabiki wengi duniani kote, ‘King Bey’ (kama anavyojiita mwenyewe) sasa ana waumini wa kanisa lenye jina lake.
Kanisa hilo limepewa jina “The National Church of Bey” na limeanzishwa na kundi la marafiki ambao hukusanyika kila Jumapili kuimba nyimbo za Beyonce kutukuza dini iitwayo ‘Beyism’ ambayo inahusiana na Beyonce. Mwanzilishi wa kanisa hilo, Pauline John Andrews amesema anafedheheshwa na jinsi umma unavyoshindwa kutambua uwepo wa mtu mtakatifu kama Beyonce.
Kwa mujibu wa taarifa, kanisa hilo limechapisha hadi biblia ‘Beyble’ na itaanza kupatikana mtaani bure hivi karibuni. Kundi hilo linatarajia kujenga kanisa lake na litajitanua zaidi hadi nje ya Atlanta, lililokoanzia.
Kanisa likikamilia, wamepanga kumwalika staa huyo ili azungumze.




No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » KANISA LA BEYONCE LAAZISHWA


Si tu anavutia mashabiki wengi duniani kote, ‘King Bey’ (kama anavyojiita mwenyewe) sasa ana waumini wa kanisa lenye jina lake.
Kanisa hilo limepewa jina “The National Church of Bey” na limeanzishwa na kundi la marafiki ambao hukusanyika kila Jumapili kuimba nyimbo za Beyonce kutukuza dini iitwayo ‘Beyism’ ambayo inahusiana na Beyonce. Mwanzilishi wa kanisa hilo, Pauline John Andrews amesema anafedheheshwa na jinsi umma unavyoshindwa kutambua uwepo wa mtu mtakatifu kama Beyonce.
Kwa mujibu wa taarifa, kanisa hilo limechapisha hadi biblia ‘Beyble’ na itaanza kupatikana mtaani bure hivi karibuni. Kundi hilo linatarajia kujenga kanisa lake na litajitanua zaidi hadi nje ya Atlanta, lililokoanzia.
Kanisa likikamilia, wamepanga kumwalika staa huyo ili azungumze.




«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos