Thursday, April 17, 2014

Hili Ndilo Daraja refu kuliko yote duniani linalopita juu ya bahari



Daraja la Akashi- Kaiyo lililopo Japan ndilo daraja refu na pana kuliko madara yote duniani yanayopita juu ya maji.
Daraja hilo lina urefu wa mita 1,991 juu na lilijengwa kwa muda wa miaka 10, ambapo lilimalizika mwaka 1998.
Daraja hilo linaunganisha jiji la Kobe liliko bara na Iwaya iliyoko katika kisiwa cha Awaji. Daraja hili linajulikana pia kama ‘Pearl Bridge’.




No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » » Hili Ndilo Daraja refu kuliko yote duniani linalopita juu ya bahari



Daraja la Akashi- Kaiyo lililopo Japan ndilo daraja refu na pana kuliko madara yote duniani yanayopita juu ya maji.
Daraja hilo lina urefu wa mita 1,991 juu na lilijengwa kwa muda wa miaka 10, ambapo lilimalizika mwaka 1998.
Daraja hilo linaunganisha jiji la Kobe liliko bara na Iwaya iliyoko katika kisiwa cha Awaji. Daraja hili linajulikana pia kama ‘Pearl Bridge’.




«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos