Thursday, April 24, 2014

Tunaomba radhi kwa picha: Hizi ni picha 11 za Mauaji yaliyofanyika sudani kusini.

 Umoja wa Mataifa unasema kuwa vikosi vinavyoipinga serikali nchini Sudan Kusini viliwaua mamia ya watu kwa sababu ya kabila lao wakati vilipouteka mji wa Bentiu wiki jana.
Kwa mujibu wa taarifa ya shirika hilo, watu hao walilengwa wakiwa katika maeneo salama walikokuwa wanahifadhiwa kama vile msikitini, makanisani na hospitalini.


Watu wa kabila laNuer, ni wafuasi wakubwa wa kiongozi wa waasi na makamu wa zamani wa Rais Riek MacharUmoja huo umesema kuwa watangazji katika baadhi ya vituo vya redio walitumia lugha ya chuki na uchochezi na kuwataka watu wa kabila fulani kuondoka mjini humo huku wakiwashauri wanaume kuwabaka wanawake.

Wapiganaji wanaomuunga mkono makamu wa rais wa zamani Riek Machar waliuteka mji wa Bentiu ambao ni mji mkuu wa jimbo la Unity siku sita zilizopita.
Walinda amani wa Umoja wa Mataifa walilaani kile walichokitaja kama mauaji yanayowalenga raia kwa misingi ya ukabila.
Rais Salva Kiir anatoka kabila la Dinka ambalo ndilo kabila kubwa kuliko yote nchini Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu ambao hawakuwa wa kabila la Nuer,waliuawa Bentiu.
















No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » » Tunaomba radhi kwa picha: Hizi ni picha 11 za Mauaji yaliyofanyika sudani kusini.

 Umoja wa Mataifa unasema kuwa vikosi vinavyoipinga serikali nchini Sudan Kusini viliwaua mamia ya watu kwa sababu ya kabila lao wakati vilipouteka mji wa Bentiu wiki jana.
Kwa mujibu wa taarifa ya shirika hilo, watu hao walilengwa wakiwa katika maeneo salama walikokuwa wanahifadhiwa kama vile msikitini, makanisani na hospitalini.


Watu wa kabila laNuer, ni wafuasi wakubwa wa kiongozi wa waasi na makamu wa zamani wa Rais Riek MacharUmoja huo umesema kuwa watangazji katika baadhi ya vituo vya redio walitumia lugha ya chuki na uchochezi na kuwataka watu wa kabila fulani kuondoka mjini humo huku wakiwashauri wanaume kuwabaka wanawake.

Wapiganaji wanaomuunga mkono makamu wa rais wa zamani Riek Machar waliuteka mji wa Bentiu ambao ni mji mkuu wa jimbo la Unity siku sita zilizopita.
Walinda amani wa Umoja wa Mataifa walilaani kile walichokitaja kama mauaji yanayowalenga raia kwa misingi ya ukabila.
Rais Salva Kiir anatoka kabila la Dinka ambalo ndilo kabila kubwa kuliko yote nchini Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu ambao hawakuwa wa kabila la Nuer,waliuawa Bentiu.
















«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos