Wednesday, April 2, 2014

Huyu Ndie Meya wa kwanza mwanamke kuongoza Paris

Anne Hidalgo, mwenye skafu nyekundu na nyeupe akifurahia ushindi  alioupata katika uchaguzi wa jumapili
Anne Hidalgo, mwenye skafu nyekundu na nyeupe akifurahia ushindi 

alioupata katika uchaguzi wa jumapili


Paris inapata meya wake wa kwanza mwanamke lakini chama chake tawala cha Socialistics kilipata kipigo katika mzunguko wa pili wa uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Ufaransa.


Anne Hidalgo mzaliwa wa Spain alimshinda mpinzani wake m-conservative kushinda wadhifa wa cheo cha juu katika mji mkuu wa Ufaransa.

Hidalgo awali alihudumu kama naibu wa meya anayemaliza muda wake, Betrand Delanoe. Alishinda kwa ahadi ya kujenga nyumba mpya za umma na kurahisisha zaidi mfumo wa huduma ya kulea watoto kwa familia za Paris.

Waangalizi wengi wa kisiasa wanaiangalia ofisi ya meya wa Paris kama hatua moja kusonga mbele kwa urais wa Ufaransa.

Lakini chama cha Hilalgo cha Socialists hakikufanya vyema katika miji na miji mikubwa mingi mingine ya Ufaransa,  imepoteza uungaji mkono kwa wanaopinga uhamiaji na wanaopinga chama cha European Union national Front.
Uchaguzi unaonekana kama kura ya maoni kwa rais asiye maarufu, Francois Hollande.
Wapiga kura wamekasirishwa na kudorora kwa uchumi na kiwango cha juu cha ukosefu wa ajira.


Chanzo VOA


No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » Huyu Ndie Meya wa kwanza mwanamke kuongoza Paris

Anne Hidalgo, mwenye skafu nyekundu na nyeupe akifurahia ushindi  alioupata katika uchaguzi wa jumapili
Anne Hidalgo, mwenye skafu nyekundu na nyeupe akifurahia ushindi 

alioupata katika uchaguzi wa jumapili


Paris inapata meya wake wa kwanza mwanamke lakini chama chake tawala cha Socialistics kilipata kipigo katika mzunguko wa pili wa uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Ufaransa.


Anne Hidalgo mzaliwa wa Spain alimshinda mpinzani wake m-conservative kushinda wadhifa wa cheo cha juu katika mji mkuu wa Ufaransa.

Hidalgo awali alihudumu kama naibu wa meya anayemaliza muda wake, Betrand Delanoe. Alishinda kwa ahadi ya kujenga nyumba mpya za umma na kurahisisha zaidi mfumo wa huduma ya kulea watoto kwa familia za Paris.

Waangalizi wengi wa kisiasa wanaiangalia ofisi ya meya wa Paris kama hatua moja kusonga mbele kwa urais wa Ufaransa.

Lakini chama cha Hilalgo cha Socialists hakikufanya vyema katika miji na miji mikubwa mingi mingine ya Ufaransa,  imepoteza uungaji mkono kwa wanaopinga uhamiaji na wanaopinga chama cha European Union national Front.
Uchaguzi unaonekana kama kura ya maoni kwa rais asiye maarufu, Francois Hollande.
Wapiga kura wamekasirishwa na kudorora kwa uchumi na kiwango cha juu cha ukosefu wa ajira.


Chanzo VOA


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos