Friday, April 18, 2014

Taarifa ya Polisi kuhusu kusitishwa Mkutano wa hadhara uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi 19/04/14



YAH: TAARIFA YA KUSITISHWA MKUTANO WA HADHARA




Naomba urejee barua yangu Kumbu. Nam. W/MGH/SO/7/2/A/4 ya tarehe 17 Aprili, 2014 inahusika.

Ninakujulisha rasmi kuwa mkutano huo uliokuwa ufanyika kesho tarehe 19 Aprili, 2014 hapo Viwanja ya Demokrasia Kibanda Maiti umesitishwa kwa sababu za 
KIUSALAMA WA NCHI.

Kwa barua hii unatakiwa kuwajulisha Wanachama na wapenzi wote wa Chama kuwa watulivu kwa muda huu, hadi hapo hali itakapo ruhusu kufanyika tena kwa Mkutano huo.

Tafadhali nawasilisha.

RAMADHANI S. NGAMIA - SSP
MKUU WA POLISI,
WILAYA YA MAGHARIBI UNGUJA.



------------ Mwisho wa kunukuu taarifa ya sitisho hilo. ------------




Katika taarifa ya habari iliyosomwa saa 2 usiku wa leo kupitia TBC, imeelezwa kuwa Jeshi la Polisi Zanzibar limesitisha mikutano yote ya hadhara ya vyama vya siasa visiwani humo.

Taarifa hiyo imetolewa na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame, wakati alipokutana na viongozi waandamizi wa vyama vya CCM na CUF katika makao makuu ya Jeshi la Polisi, Ziwani, Zanzibar.

Kabla ya kutolewa tamko hilo CUF ilipanga kufanya mkutano kama ilivyoelezwa hapo juu, wakati UV-CCM ilipanga kufanya mkutano wa hadhara keshokutwa, Jumapili katika eneo la Mabata.





No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » Taarifa ya Polisi kuhusu kusitishwa Mkutano wa hadhara uliopangwa kufanyika kesho Jumamosi 19/04/14



YAH: TAARIFA YA KUSITISHWA MKUTANO WA HADHARA




Naomba urejee barua yangu Kumbu. Nam. W/MGH/SO/7/2/A/4 ya tarehe 17 Aprili, 2014 inahusika.

Ninakujulisha rasmi kuwa mkutano huo uliokuwa ufanyika kesho tarehe 19 Aprili, 2014 hapo Viwanja ya Demokrasia Kibanda Maiti umesitishwa kwa sababu za 
KIUSALAMA WA NCHI.

Kwa barua hii unatakiwa kuwajulisha Wanachama na wapenzi wote wa Chama kuwa watulivu kwa muda huu, hadi hapo hali itakapo ruhusu kufanyika tena kwa Mkutano huo.

Tafadhali nawasilisha.

RAMADHANI S. NGAMIA - SSP
MKUU WA POLISI,
WILAYA YA MAGHARIBI UNGUJA.



------------ Mwisho wa kunukuu taarifa ya sitisho hilo. ------------




Katika taarifa ya habari iliyosomwa saa 2 usiku wa leo kupitia TBC, imeelezwa kuwa Jeshi la Polisi Zanzibar limesitisha mikutano yote ya hadhara ya vyama vya siasa visiwani humo.

Taarifa hiyo imetolewa na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame, wakati alipokutana na viongozi waandamizi wa vyama vya CCM na CUF katika makao makuu ya Jeshi la Polisi, Ziwani, Zanzibar.

Kabla ya kutolewa tamko hilo CUF ilipanga kufanya mkutano kama ilivyoelezwa hapo juu, wakati UV-CCM ilipanga kufanya mkutano wa hadhara keshokutwa, Jumapili katika eneo la Mabata.





«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos