Moja kati ya vitu vinavyo Pamba vichwa vya habari katika mitandao na hata vyombo vya habari ni jinsi watu mashuhuri wanavyo mpa suport mchezaji wa barcelona Dany Alves aliyetupiwa ndizi uwanjani wakati wamechi kati ya Vila real na Barcelona Wameonyesha kupinga kitendo cha kibaguzi kilicho fanyika kwa kupost picha wakiwa wanakula ndizi. Pichani Zito kabwe na watanzania wengine wakimuunga beki huyo kisiki wa Barcelona.
Sio ulaya tu hata bongo tunapinga ubaguzi wa rangi
Moja kati ya vitu vinavyo Pamba vichwa vya habari katika mitandao na hata vyombo vya habari ni jinsi watu mashuhuri wanavyo mpa suport mchezaji wa barcelona Dany Alves aliyetupiwa ndizi uwanjani wakati wamechi kati ya Vila real na Barcelona Wameonyesha kupinga kitendo cha kibaguzi kilicho fanyika kwa kupost picha wakiwa wanakula ndizi. Pichani Zito kabwe na watanzania wengine wakimuunga beki huyo kisiki wa Barcelona.

No comments:
Post a Comment