Saturday, April 12, 2014

ARSENAL YATINGA FAINALI FA MATOKEO YAKO HAPA



Arsenal‬ yatinga fainali ya Kombe la FA kwa kuichapa Wigan‬ 4-2 kwa mikwaju ya penati. Dakika 90 za mwanzo ziliisha kwa magoli 1-1 ambapo wigan ndio walitangulia kufunga kwa penalt na kipindi cha pili Arsenal walisawazisha. Ziliongezwa dakika 30 ambapo hakuna timu iliyopata goli hadi zina isha.



No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » ARSENAL YATINGA FAINALI FA MATOKEO YAKO HAPA



Arsenal‬ yatinga fainali ya Kombe la FA kwa kuichapa Wigan‬ 4-2 kwa mikwaju ya penati. Dakika 90 za mwanzo ziliisha kwa magoli 1-1 ambapo wigan ndio walitangulia kufunga kwa penalt na kipindi cha pili Arsenal walisawazisha. Ziliongezwa dakika 30 ambapo hakuna timu iliyopata goli hadi zina isha.



«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos