Thursday, May 1, 2014

Kama ulimis Kutazama mechi ya jana kati ya Chelsea vs Atletico Madrid nimekuwekea hapa Video ya magoli yote.

















Ni game ambayo Chelsea ndio walitangulia kupata goli la kwanza kupitia kwa Torres kwenye dakika ya 36 lakini likalipwa na Adrian Lopez kwenye dakika ya 44 kisha Costa akaongeza jingine kwenye dakika ya 60 kwa njia ya penati alafu goli la mwisho likafungwa na Turan kwenye dakika ya 72 hivyo game kuwa Chelsea 1- Atletico Madrid 3.


No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » » Kama ulimis Kutazama mechi ya jana kati ya Chelsea vs Atletico Madrid nimekuwekea hapa Video ya magoli yote.

















Ni game ambayo Chelsea ndio walitangulia kupata goli la kwanza kupitia kwa Torres kwenye dakika ya 36 lakini likalipwa na Adrian Lopez kwenye dakika ya 44 kisha Costa akaongeza jingine kwenye dakika ya 60 kwa njia ya penati alafu goli la mwisho likafungwa na Turan kwenye dakika ya 72 hivyo game kuwa Chelsea 1- Atletico Madrid 3.


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos