Tuesday, April 29, 2014

Alicho kisema Neymar Baada ya Dani alves kurushiwa ndizi Uwanjani na mashabiki wa Villarreal siku ya Jumapili


''Sisi sote Ni Nyani'' Neymar Jr.

Mshambulizi mashuhuri Neymar aliahidi kupiga vita ubaguzi wa rangi baada mwenzake Dani Alves kurushiwa ndizi kutoka katika majukwaa na matazamio ya uwanja waliposhinda magoli 3-2 dhidi ya Villarreal siku ya Jumapili, alitumia mitandao tandawazi kupiga vita ufisadi huo.
“Sisi sote tuko sawa, sote tuko nyani, sema hapana kwa ubaguzi,” aliandika katika tovuti yake.
“Ni aibu kuwa kuna kuchi bila sababu za aina hii mnamo 2014. Ni wakati mwafaka kwa watu kupandisha sauti zao. Mbinu yangu ya kutoa msada ni kufanya vile Dani Alves alivyofanya.”
Kama unafikiri hivyo pia, chukua picha yako mwenyewe ukila ndizi na tutatumia wanavyo dhidi yetu kwa nafu yetu.
Na Alves, aliyesababisha magoli mawili kuingia na alisema kuwa ndizi ile imemsaidia kumwongezea nguvu alizokuwa akihitaji.
“Sijui alikuwa nani, lakini shukrani kwa yeyote aliyerusha ndizi, potasiamu ilinipa nguvu zilizosababisha magoli,” Alves aliambia waandishi wa habari baada ya mechi.
“Nilikuwa katika Hispania kwa miaka 11, na kwa miaka 11 nimecheka kwa upumbavu huu,” aliongeza.



No comments:

Post a Comment

Mkereketwa. Powered by Blogger.

Health

Documentary

News

Sports

» » » Alicho kisema Neymar Baada ya Dani alves kurushiwa ndizi Uwanjani na mashabiki wa Villarreal siku ya Jumapili


''Sisi sote Ni Nyani'' Neymar Jr.

Mshambulizi mashuhuri Neymar aliahidi kupiga vita ubaguzi wa rangi baada mwenzake Dani Alves kurushiwa ndizi kutoka katika majukwaa na matazamio ya uwanja waliposhinda magoli 3-2 dhidi ya Villarreal siku ya Jumapili, alitumia mitandao tandawazi kupiga vita ufisadi huo.
“Sisi sote tuko sawa, sote tuko nyani, sema hapana kwa ubaguzi,” aliandika katika tovuti yake.
“Ni aibu kuwa kuna kuchi bila sababu za aina hii mnamo 2014. Ni wakati mwafaka kwa watu kupandisha sauti zao. Mbinu yangu ya kutoa msada ni kufanya vile Dani Alves alivyofanya.”
Kama unafikiri hivyo pia, chukua picha yako mwenyewe ukila ndizi na tutatumia wanavyo dhidi yetu kwa nafu yetu.
Na Alves, aliyesababisha magoli mawili kuingia na alisema kuwa ndizi ile imemsaidia kumwongezea nguvu alizokuwa akihitaji.
“Sijui alikuwa nani, lakini shukrani kwa yeyote aliyerusha ndizi, potasiamu ilinipa nguvu zilizosababisha magoli,” Alves aliambia waandishi wa habari baada ya mechi.
“Nilikuwa katika Hispania kwa miaka 11, na kwa miaka 11 nimecheka kwa upumbavu huu,” aliongeza.



«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Mwananchi Kweli

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

Video

Gossip

Movie

Technology

Photos